Featured Post

HALMASHAURI KALIUA YATOA MIKOPO SHILINGI MILIONI 240

MATANGAZO

Wednesday, April 21, 2021

TUNAOMBA MSAADA WA UJENZI WA MSIKITI

WAISLAM TABORA WAOMBA MSAADA.

Waislam katika msikiti wa Ijumaa Ikindwa kata ya Kiloleni Manispaa ya Tabora wameshindwa kukamilisha ujenzi wa msikiti huo kwa kile kinachoelezwa kukosa uwezo wa kifedha wa kumalizia msikiti huo ambao unahitaji zaidi ya shilingi million tano.

No comments:

Post a Comment