Featured Post

HALMASHAURI KALIUA YATOA MIKOPO SHILINGI MILIONI 240

MATANGAZO

Saturday, May 1, 2021

WAKULIMA WA TUMBAKU KAHAMA WATARAJIA KUJIPATIA BILION AROBAINI

Wakulima wa Tumbaku wa wilaya ya Kahama wamekuwa wa kwanza kufungua milango ya soko la kuuza tumbaku yao kwenye makampuni  huko mjini Tabora huku wakitarajia kupata zaidi ya shilingi Bilion arobaini kutokana na mauzo ya zao hilo kwa kilo milioni tisa walizoingia mkataba na Makampuni yanayonunua Tumbaku nchini.

No comments:

Post a Comment