Featured Post

HALMASHAURI KALIUA YATOA MIKOPO SHILINGI MILIONI 240

MATANGAZO

Tuesday, July 14, 2020

SHEIKH SHARIFF MIKIDADI AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUOMBA RIDHAA CCM IMTEUE KUWANIA UBUNGE TABORA MJINI

Sheikh Shariff  Mikidadi Matongo  leo amekuwa  ni mmoja  kati  ya  Makada  wa  Chama  cha  Mapinduzi  kuchukua  fomu  ya  kuomba  ridhaa  kwa  Chama  chake ili ateuliwe kupeperusha  bendera  katika  kuwania  nafasi  ya  Ubunge  Jimbo  la  Tabora  mjini kwenye  Uchaguzi  Mkuu  wa  mwaka  2020 unaotarajiwa  kufanyika Oktoba  mwaka  huu.