Machinjio ya nyama yaliyoko Mtaa wa Kariakoo katika halmashauri ya manispaa Tabora ambayo yanatakiwa kufanyiwa usafi wa kina ili kuboresha mazingira yake. Picha na Allan Ntana.
Na Allan Ntana, Tabora
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya manispaa ya Tabora Bosco Ndunguru amepewa muda wa siku mbili kuhakikisha machinjio ya nyama yalioko eneo la Kariakoo yanafanyiwa usafi wa kina.
Agizo hilo limetolewa jana na Mkuu wa Mkoa huo Dkt Batilda Buriani alipotembelea na kukagua mazingura ya machinjio hayo akiambana na Mkuu wa wilaya na viongozi wa halmashauri ya manispaa hiyo.
Alisema hali ya usafi katika machinjio hayo hairidhishi, sakafu, kuta na mifereji ya kutolea uchafu ni vichafu sana na vyombo vya kuhifadhia nyama navyo haviridhishi ikiwemo uchakavu wa miundombinu.
Alisema lengo la kujengwa machinjio hayo ni kuongeza vyanzo vya mapato lakini kwa hali ilivyo sasa malengo hayo hayawezi kufikiwa tena hivyo akaagiza maboresho makubwa yafanyike ikiwemo kuanzisha vyanzo vingine vya mapato.
RC Batilda alimtaka Mkurugenzi kutoridhika na mapato wanayopata sasa bali wafanye kila linalowezekana ili kuhakikisha lengo la machinjio hayo kuwa kitovu cha kusafirisha nyama katika mataifa jirani ya Burundi na Rwanda linatimizwa.
‘Fanyeni usafi wa kina, nawapa siku 2 tu mandhari ya machinjio haya yabadilike, pakeni rangi kuta zote, wekeni marumaru (tiles) na maboksi yote ya kuwekea nyama yawe safi, sitaki mniangushe’, alisema RC.
Aliwataka kutumia sehemu ya mapato wanayokusanya kuboresha eneo hilo wakati wakisubiri mradi mkubwa wa Benki ya Dunia ambao utahusisha pia ujenzi wa machinjio hayo kwa kiwango cha kisasa.
Mkuu wa wilaya ya Tabora Mjini Dkt Yahaya Nawanda alimhakikishia kuwa atafanyia kazi maelekezo yote aliyoyatoa haraka iwezekanavyo ili kuhakikisha machinjio hayo yanakuwa na mwonekano mzuri ili kuongeza mapato.
Awali akitoa taarifa, Mkurugenzi Ndunguru alisema kuwa machinjio hayo yaliyojengwa kwa ufadhili wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya (European Economic Community) mwaka 1972 yanakabiliwa na changamoto kubwa ya uchakavu wa miundombinu hali inayosababisha usafi kutoridhisha.

𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗚𝗨 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗝𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗔𝗔𝟰𝟴 𝗨𝗕𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗦𝗛𝗘 𝗠𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗠𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢.
ReplyDeleteKATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.